TheQuotesMaster.com
  • Home
  • Authors
  • Topics
  • Quote of the Day
  • Home
  • Authors
  • Topics
  • Quote of the Day
  • Home
  • Authors
  • Topics
  • Quote of the Day
  • Top 100 Quotes
  • Quotes by Author Professions
  • Quotes by Author Nationalities

Bwawa La Siloamu Quotes

    • Love Quotes
    • Life Quotes
    • Inspirational Quotes
    • Philosophy Quotes
    • Humor Quotes
    • Wisdom Quotes
    • Truth Quotes
    • God Quotes
    • Happiness Quotes
    • Hope Quotes
  • Follow us on Facebook
  • Save us on Pinterest
  • Follow us on X
Amri ya Kristo ilipima imani ya yule kipofu, ikiithibitisha na kuiimarisha. Bila kuchelewa au kusita, kipofu alitii amri ya Mungu: Alikwenda kuosha macho yake katika bwawa la Siloamu na aliona. Wengi wanaweza kuona ni kazi ya kipuuzi kwa mtu ambaye ni kipofu kufanya kazi ndogo kama hiyo ili aone. Lakini kwa vile alitii, kipofu alipona. Baraka huja kupitia utii. Kwa maana nyingine, kipofu alimtii Yesu bila kuona. Lakini matokeo yake, alipata kuona papohapo; ambapo baadaye, hatimaye, alipokea uponyaji halisi wa kiroho.
Enock Maregesi

Related Topics

Utii
Quotes
Faith
Quotes
Blind
Quotes
Kipofu
Quotes
Amri Ya Kristo
Quotes
Divine Decree
Quotes
Amri Ya Mungu
Quotes
The Command Of Christ
Quotes

TheQuotesMaster.com

  • About Us
  • Contact Us
  • Privacy Policy
  • Terms
  • DMCA
  • FAQ

Site Links

  • Authors
  • Topics
  • Quote Of The Day
  • Top 100 Quotes
  • Professions
  • Nationalities

Authors in the News

  • Stephen King Quotes
  • James Bond Quotes
  • Chris Kluwe Quotes
  • Mindy Kaling Quotes
  • Constantin Brancusi Quotes
  • Lil Wayne Quotes
  • Andrea Camilleri Quotes
  • George Washington Quotes
  • Stephen Graham Quotes
  • Lars Von Trier Quotes
TheQuotesMaster.com
  • Follow us on Facebook Follow us on Facebook
  • Follow us on Instagram Follow us on Instagram
  • Save us on Pinterest Save us on Pinterest
  • Follow us on Youtube Follow us on Youtube
  • Follow us on X Follow us on X

@2024 TheQuotesMaster.com. All rights reserved